Hao wachina wakikata nyama ya mtoto mdogo, wachina hupendelea sana kula nyama za watu hasa watoto wachanga na vyura na nyoka.picha kwa hisani ya KATELEPHONE"S FRIENDS
Vijana hao wakimueleza mpiga picha Mr.KATELEPHONE kwamba wao ndio mapr wa sasahivi na wana uhakika na kazi zao watakazozifanya, wa kwanza kushoto ni SHEMWETA wapili TEMBA na wa mwisho ni Mr Some one,(jina limehifadhiwa )
Mama huyo akilalamika kwamba hiyo nguo ni saizi yake na kwamba yeye ni kipotabo, wanawake kama hawa ni hatari sana kuoa kwani bajeti ya nguo itakuwa kubwa sana.
Kijana huyo akiuchapa usingizi darasani wakati LECTURE ikiendela kama kawaida, hii ni kutokana na kuongea sana na simu kipindi cha usiku. Huyo kijana anajulikana kwa jina la Chambi
Kijana huyo ambaye amekamatwa kwa kuiba pesa akilalalmika mbele ya watu waliomzunguka kwamba asamehewe na hatorudia tena kitendo hicho cha wizi. Hii muda mwingine inawezekana kuwa ni hali ngumu ya maisha inayowakabili vijana wengi.
Kijana huyo akipata kipigo cha mwaka, kijana huyo inasemekana ameiba kiasi kidogo cha pesa kiasi cha shs 5000, hii ni hatari sana kwani kiasi cha pesa kama hiko kinaweza kukuhatarishia maisha yako. Tukio hilo limetokea karibu kabisa na Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro.
Kutokana na maendeleo katika mawasiliano, ofisi nyingi hutumia computer katika kufanikisha kazi za kila siku, hapa MR YUSUPH akiwa bize kazini kwake...
Huyu ni jamaa kama anavyoonekana katika picha akiwa anaendesha pikipiki ndogo ambayo uzito wake hauendani kabisa na uwezo wa pikipiki yenyewe, inasemekana jamaa ana kilo zaidi ya mia mbili. picha kwa hisani ya KATELEPHONE YOUTH CLUB CENTRE.
Sehemu ya biashara mjini Zanzibar sehemu hii maarufu kwa biashara ya urojo na vitu vingine kama pweza na samaki wa kukaanga na watalii hupendelea sana kuja hapa
Hii ni sehemu ya picha inayoonyesha uharibifu wa mazingira, gari hilo linatoa moshi mwingi na hii inaweza kusababisha athari katika afya zao. Hapo ni karibu kabisa na kituo cha Mabasi cha MSAMVU mkoani MOROGORO.
Basi la ABOOD linalotoa huduma ya usafiri kutoka Morogoro mpaka Dar likiwa katika harakati zake za kusafirisha abiria wake, kutokana na huduma zake kuwa nzuri watu wengi hupendelea kulitumia .
Mazoezi ni muhimu kwa watu wa jinsia zote kwani mazoezi humjenga mtu mwili wake na humuepusha na maradhi madogomadogo, huyu mama licha ya kuwa maziwa yake ni makubwa lakini mazoezi hufanya kila siku.
Hiyo ndio hali halisi ya furaha aliyokuwa nayo bwana huyo baada ya kupata teerifa ya mafanikio ya familia yake, lakini muda mwingine huwa ni hatari kwa afya yake kwani wadudu kama inzi wanaweza kuingia mdomoni.
Umasikini uliokithiri vijijini nchini Tanzania, hii ni hali halisi inavyoonekana vijijini na hilo ndilo Gari la Ambulance la kutegemewa na wanakijiji wa Misumbwi.
Furaha waliokuwanayo vijana hawa kwa ushindi wa kishindo wa mgombea wao aliyeshinda jana na huyo aliyelala kwenye kiti inasemekana anaweza kuwa Waziri wa usafiri au fedha Mr Ndaro
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro wakishangilia ushindi wa Rais wao Mr Hamis Rajabu wa mwaka wa kwanza, uchaguzi huo ilifanyika jana tarehe 16 march 2008
Pamoja na uchumi wa Tanzania kukua kwa kasi na majengo nayo yanashamiri kwa kasi mno, hilo ni jengo la umoja wa walimu nchini Tanzania ambalo lipo katika barabara ya Uhuru.